Walawi 11:13-16
13
“ ‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu,
14
mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi,
16
mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga,