Rukia maudhui
Walawi 11:10-11

Walawi 11:10-11

10
Lakini viumbe wote ndani ya bahari au vijito wasio na mapezi na magamba, wakiwa miongoni mwa makundi au viumbe wote ndani ya maji, hao ni machukizo kwenu.
11
Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options