Skip to content
Maombolezo 3:32-33

Maombolezo 3:32-33

32
Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma, kwa kuwa upendo wake usiokoma ni mkuu.
33
Kwa maana hapendi kuwaletea mateso au huzuni watoto wa wanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options