Skip to content
Maombolezo 3:31-33

Maombolezo 3:31-33

31
Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali na Bwana milele.
32
Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma, kwa kuwa upendo wake usiokoma ni mkuu.
33
Kwa maana hapendi kuwaletea mateso au huzuni watoto wa wanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options