Rukia maudhui
Waamuzi 20:47-48

Mabaki na Kulipiza Kisasi

Waamuzi 20:47-48
47
Lakini watu 600 wakakimbia kuelekea nyikani katika mwamba wa Rimoni, na kukaa huko muda wa miezi minne.
48
Waisraeli wakarudi na kuua watu wote wa Benyamini, pamoja na wanyama na kila walichokikuta. Pia kila mji waliouona waliuchoma moto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options