Skip to content
Waamuzi 10:3-5

Waamuzi 10:3-5

3
Baada yake akafuatiwa na Yairi, Mgileadi, ambaye aliamua Israeli kwa miaka ishirini na miwili.
4
Alikuwa na wana thelathini waliopanda punda thelathini. Nao walikuwa na miji thelathini iliyoko Gileadi, inayoitwa Hawoth-Yairi mpaka leo.
5
Yairi akafa, naye akazikwa huko Kamoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options