Rukia maudhui
Yoshua 9:1-2

Wafalme Waungana Dhidi ya Israeli

Yoshua 9:1-2
1
Basi ikawa wafalme wote waliokuwa magharibi mwa Yordani waliposikia juu ya haya yote, wale waliokuwa katika nchi ya vilima, upande wa magharibi mwa vilima na katika pwani yote ya hiyo Bahari Kuu, hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi),
2
wakajiunga pamoja ili kupigana vita dhidi ya Yoshua na Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options