Rukia maudhui
Yoshua 23:12-13

Onyo Dhidi ya Kuasi na Kuoa Watu wa Mataifa

Yoshua 23:12-13
12
“Lakini ikiwa mtageuka na kushikamana na mabaki ya mataifa haya yaliyosalia katikati yenu na kama mtaoana na kushirikiana nao,
13
basi mwe na hakika kuwa Bwana Mungu wenu hatawafukuza tena mataifa hayo mbele yenu. Badala yake, watakuwa tanzi na mitego kwenu, mijeledi migongoni mwenu, na miiba machoni mwenu, mpaka mwangamie kutoka nchi hii nzuri, ambayo Bwana Mungu wenu amewapa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options