Yoshua 19:20-23
20
Rabithi, Kishioni, Ebesi,
21
Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
22
Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
23
Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.