Skip to content
Yoshua 19:20-23

Yoshua 19:20-23

20
Rabithi, Kishioni, Ebesi,
21
Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
22
Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
23
Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options