Skip to content
Yoshua 15:21-32

Yoshua 15:21-32

21
Miji ya kusini kabisa ya kabila la Yuda katika Negebu kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,
22
Kina, Dimona, Adada,
23
Kedeshi, Hazori, Ithnani,
24
Zifu, Telemu, Bealothi,
25
Hazor-Hadata, Kerioth-Hezroni (yaani Hazori),
26
Amamu, Shema, Molada,
27
Hasar-Gada, Heshmoni, Beth-Peleti,
28
Hasar-Shuali, Beer-Sheba, Biziothia,
29
Baala, Iyimu, Esemu,
30
Eltoladi, Kesili, Horma,
31
Siklagi, Madmana, Sansana,
32
Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni; hiyo yote ni miji ishirini na tisa, pamoja na vijiji vyake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options