Skip to content
Yona 2:10

Yona 2:10

Inaonyesha mstari 10 pamoja na muktadha unaouzunguka.
7
“Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka, nilikukumbuka wewe, Bwana, nayo maombi yangu yalikufikia wewe, katika Hekalu lako takatifu.
8
“Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.
9
Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea dhabihu. Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza. Wokovu watoka kwa Bwana.”
10
Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options