Skip to content
Yona 2:8-9

Nadhiri ya Shukrani na Imani

Yona 2:8-9
8
“Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.
9
Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea dhabihu. Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza. Wokovu watoka kwa Bwana.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options