Skip to content
Yohana 8:32-36

Yohana 8:32-36

32
Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”
33
Wao wakamjibu, “Sisi tu wazao wa Abrahamu, nasi hatujawa watumwa wa mtu yeyote. Wawezaje kusema kwamba tutawekwa huru?”
34
Yesu akajibu, “Amin, amin nawaambia, kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
35
Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima.
36
Hivyo Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options