Skip to content
Yohana 8:31-33

Yohana 8:31-33

31
Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkidumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli.
32
Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”
33
Wao wakamjibu, “Sisi tu wazao wa Abrahamu, nasi hatujawa watumwa wa mtu yeyote. Wawezaje kusema kwamba tutawekwa huru?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options