Skip to content
Yohana 7:1

Yohana 7:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Baada ya mambo haya, Yesu alikwenda sehemu mbalimbali za Galilaya. Hakutaka kwenda Uyahudi kwa sababu Wayahudi huko walitaka kumuua.
2
Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
3
Hivyo ndugu zake Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende Uyahudi ili wanafunzi Wako wapate kuona miujiza unayofanya.
4
Mtu anayetaka kujulikana hafanyi mambo yake kwa siri. Kama unafanya mambo haya, jionyeshe kwa ulimwengu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options