Rukia maudhui
Yohana 6:67-69

Yohana 6:67-69

67
Hivyo Yesu akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”
68
Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele.
69
Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options