Skip to content
Yohana 4:1-2

Yohana 4:1-2

1
Mafarisayo wakasikia kwamba Yesu alikuwa anapata na kubatiza wanafunzi wengi zaidi kuliko Yohana,
2
ingawa kwa kweli si Yesu mwenyewe aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options