Skip to content
Yohana 20:27-29

Yohana 20:27-29

27
Kisha akamwambia Tomaso, “Weka kidole chako hapa na uone mikono yangu, nyoosha mkono wako uguse ubavuni mwangu. Usiwe na shaka, bali uamini tu.”
28
Tomaso akamwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
29
Yesu akamwambia, “Umeamini kwa kuwa umeniona? Wamebarikiwa wale ambao hawajaona lakini wameamini.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options