Skip to content
Yohana 20:30-31

Kusudi la Injili ya Yohana

Yohana 20:30-31
30
Yesu alifanya miujiza mingine mingi mbele za wanafunzi wake, ambayo haikuandikwa katika kitabu hiki.
31
Lakini haya yameandikwa ili mweze kuamini ya kuwa Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa kumwamini mpate uzima katika jina lake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options