Rukia maudhui
Yohana 18:13-14

Yesu mbele ya Anasi na Kayafa

Yohana 18:13-14
13
Kwanza wakampeleka kwa Anasi, mkwewe Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka ule.
14
Kayafa ndiye alikuwa amewashauri Wayahudi kwamba imempasa mtu mmoja kufa kwa ajili ya watu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options