Skip to content
Yohana 16:1-3

Yohana 16:1-3

1
“Nimewaambia mambo haya yote ili msije mkaiacha imani.
2
Watawatenga na masinagogi. Naam, saa yaja ambayo mtu yeyote atakayewaua atadhani kwa kufanya hivyo anamtumikia Mungu.
3
Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options