Rukia maudhui
Yohana 14:5-8

Yesu ndiye njia, kweli na uzima

Yohana 14:5-8
5
Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?”
6
Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu.
7
Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba pia. Tangu sasa, mnamjua Baba yangu, tena mmemwona.”
8
Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba yako yatosha.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options