Yohana 14:12-15
12
Amin, amin nawaambia, yeyote aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu mimi ninakwenda kwa Baba.
13
Nanyi mkiomba lolote kwa Jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa katika Mwana.
14
Kama mkiniomba lolote kwa Jina langu nitalifanya.
15
“Kama mnanipenda, mtazishika amri zangu.
Settings