Skip to content
Yohana 12:42-43

Yohana 12:42-43

42
Lakini wengi miongoni mwa viongozi wa Wayahudi walimwamini, lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakukiri waziwazi kwa maana waliogopa kufukuzwa katika masinagogi.
43
Wao walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options