Skip to content
Yohana 12:31-33

Yohana 12:31-33

31
Sasa ni saa ya hukumu kwa ajili ya ulimwengu huu, sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.
32
Lakini mimi, nikiinuliwa kutoka nchi, nitawavuta watu wote waje kwangu.”
33
Yesu aliyasema haya akionyesha ni kifo gani atakachokufa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options