Aller au contenu
Yohana 12:20-22

Yohana 12:20-22

20
Basi palikuwa Wayunani fulani miongoni mwa wale waliokuwa wamekwenda kuabudu wakati wa Sikukuu.
21
Hawa wakamjia Filipo, ambaye alikuwa mwenyeji wa Bethsaida huko Galilaya, wakiwa na ombi. Wakamwambia, “Tungependa kumwona Yesu.”
22
Filipo akaenda akamweleza Andrea, nao wote wawili wakamwambia Yesu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options