Skip to content
Yohana 10:12-13

Yohana 10:12-13

12
Mtu wa kuajiriwa sio mchungaji mwenye kondoo. Amwonapo mbwa mwitu akija, yeye hukimbia na kuwaacha kondoo. Naye mbwa mwitu hulishambulia kundi na kulitawanya.
13
Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options