Skip to content
Yohana 10:19-21

Yohana 10:19-21

19
Kwa maneno haya Wayahudi waligawanyika.
20
Wengi wao wakasema, “Huyu amepagawa na pepo mchafu, naye amechanganyikiwa.”
21
Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mtu aliyepagawa na pepo mchafu. Je, pepo mchafu aweza kufungua macho ya kipofu?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options