Skip to content
Ayubu 8:5-6

Ayubu 8:5-6

5
Lakini ukimtafuta Mungu, nawe ukamsihi Mwenyezi,
6
ikiwa wewe ni safi na mnyofu, hata sasa atainuka mwenyewe kwa niaba yako, na kukurudisha katika mahali pako pa haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options