Skip to content
Ayubu 8:8-10

Ayubu 8:8-10

8
“Ukaulize vizazi vilivyotangulia na uone baba zao walijifunza nini,
9
kwa kuwa sisi tumezaliwa jana tu na hatujui lolote, nazo siku zetu duniani ni kama kivuli tu.
10
Je, hawatakufundisha na kukueleza? Je, hawataleta maneno kutoka kwenye kufahamu kwao?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options