Skip to content
Ayubu 8:4-6

Ayubu 8:4-6

4
Watoto wako walipomtenda dhambi, aliwapa adhabu ya dhambi yao.
5
Lakini ukimtafuta Mungu, nawe ukamsihi Mwenyezi,
6
ikiwa wewe ni safi na mnyofu, hata sasa atainuka mwenyewe kwa niaba yako, na kukurudisha katika mahali pako pa haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options