Ayubu 8:3-6
3
Je, Mungu hupotosha hukumu? Je, Mwenyezi hupotosha kile kilicho haki?
4
Watoto wako walipomtenda dhambi, aliwapa adhabu ya dhambi yao.
5
Lakini ukimtafuta Mungu, nawe ukamsihi Mwenyezi,
6
ikiwa wewe ni safi na mnyofu, hata sasa atainuka mwenyewe kwa niaba yako, na kukurudisha katika mahali pako pa haki.
Settings