Skip to content
Ayubu 6:15-18

Ayubu 6:15-18

15
Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
16
wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,
17
lakini hukauka majira ya ukame, na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.
18
Misafara hugeuka kutoka njia zake; hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options