Skip to content
Ayubu 35:10-13

Ayubu 35:10-13

10
Lakini hakuna asemaye, ‘Yuko wapi Mungu Muumba wangu, yeye anifanyaye niimbe usiku,
11
yeye atufundishaye sisi zaidi kuliko wanyama wa dunia, na kutufanya wenye hekima kuliko ndege wa angani?’
12
Yeye hajibu wakati watu waliapo kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.
13
Naam, Mungu hasikilizi maombi yao ya ubatili; Mwenyezi hayazingatii.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options