Ayubu 36:1-4
1
Elihu akaendelea kusema:
2
“Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.
3
Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali, nami nitamhesabia haki Muumba wangu.
4
Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo; mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.
Settings