Skip to content
Ayubu 33:8-11

Ayubu 33:8-11

8
“Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:
9
‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
10
Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
11
Ananifunga miguu kwa pingu, tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options