8
“Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:
9
‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
10
Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
11
Ananifunga miguu kwa pingu, tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’