Skip to content
Ayubu 32:8-9

Ayubu 32:8-9

8
Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu, pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo yeye ufahamu.
9
Sio wazee peke yao walio na hekima, sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options