Skip to content
Ayubu 31:5-7

Ayubu 31:5-7

5
“Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
6
Mungu na anipime katika mizani za uaminifu, naye atajua kwamba sina hatia:
7
kama hatua zangu zimepotoka kutoka kwenye njia, kama moyo wangu umeongozwa na macho yangu, au kama mikono yangu imetiwa unajisi,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options