Ayubu 31:5-7
5
“Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
6
Mungu na anipime katika mizani za uaminifu, naye atajua kwamba sina hatia:
7
kama hatua zangu zimepotoka kutoka kwenye njia, kama moyo wangu umeongozwa na macho yangu, au kama mikono yangu imetiwa unajisi,