Ayubu 31:35-37
35
(“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia! Tazama sasa ninatia sahihi kwenye utetezi wangu: Mwenyezi na anijibu; mshtaki wangu na aweke mashtaka yake kwenye maandishi.
36
Hakika ningeyavaa begani mwangu, ningeyavaa kama taji.
37
Ningempa hesabu ya kila hatua yangu, ningemwendea kama mwana wa mfalme.)
Settings