Skip to content
Ayubu 31:38-40

Ayubu 31:38-40

38
“Kama nchi yangu inalia dhidi yangu, na mifereji yake yote imelowana kwa machozi,
39
kama nimekula mazao yake bila malipo, au kuvunja mioyo ya wapangaji wake,
40
basi miiba na iote badala ya ngano, na magugu badala ya shayiri.” Mwisho wa maneno ya Ayubu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options