38
“Kama nchi yangu inalia dhidi yangu, na mifereji yake yote imelowana kwa machozi,
39
kama nimekula mazao yake bila malipo, au kuvunja mioyo ya wapangaji wake,
40
basi miiba na iote badala ya ngano, na magugu badala ya shayiri.” Mwisho wa maneno ya Ayubu.