Skip to content
Ayubu 31:33-37

Ayubu 31:33-37

33
kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,
34
kwa sababu ya kuogopa umati wa watu, na hivyo kuwa na hofu ya kudharauliwa na jamaa, nikanyamaza kimya nisitoke nje ya mlango:
35
(“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia! Tazama sasa ninatia sahihi kwenye utetezi wangu: Mwenyezi na anijibu; mshtaki wangu na aweke mashtaka yake kwenye maandishi.
36
Hakika ningeyavaa begani mwangu, ningeyavaa kama taji.
37
Ningempa hesabu ya kila hatua yangu, ningemwendea kama mwana wa mfalme.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options