Skip to content
Ayubu 30:16-19

Mateso makali ya mwili

Ayubu 30:16-19
16
“Sasa maisha yangu yamefikia mwisho; siku za mateso zimenikamata.
17
Usiku mifupa yangu inachoma; maumivu yanayonitafuna hayatulii kamwe.
18
Kwa uwezo wake mkuu Mungu huwa kwangu kama nguo; hushikamana nami kama ukosi wa vazi langu.
19
Yeye amenitupa kwenye matope, nami nimekuwa kama mavumbi na majivu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options