Ayubu 27:7-10
7
“Watesi wangu wawe kama waovu, nao adui zangu wawe kama wasio haki!
8
Kwa maana mtu asiyemcha Mungu analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali, Mungu anapouondoa uhai wake?
9
Je, Mungu husikiliza kilio chake, shida zimjiapo?
10
Je, anaweza kumfurahia Mwenyezi? Je, atamwita Mungu nyakati zote?