Rukia maudhui
Ayubu 26:1-4

Ayubu akataa shauri dhaifu la Bildadi

Ayubu 26:1-4
1
Kisha Ayubu akajibu:
2
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options