Ayubu 22:6-9
6
Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.
7
Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,
8
ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi: mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.
9
Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.
Settings