Skip to content
Ayubu 22:2-3

Ayubu 22:2-3

2
“Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu? Je, hata mtu mwenye hekima aweza kumfaidi?
3
Je, Mwenyezi angefurahia nini kama ungekuwa mwadilifu? Au je, yeye angepata faida gani kama njia zako zingekuwa kamilifu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options