Ayubu 22:15-18
15
Je, utaifuata njia ya zamani, ambayo watu waovu waliikanyaga?
16
Waliondolewa kabla ya wakati wao, misingi yao ikachukuliwa na mafuriko.
17
Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’
18
Lakini ndiye alizijaza nyumba zao na vitu vizuri, hivyo ninajitenga mbali na mashauri ya waovu.
Settings