Ayubu 21:7-9
7
Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wakifikia umri wa uzee na kuendelea kuwa na nguvu?
8
Huwaona watoto wao wakithibitika wakiwa wamewazunguka, wazao wao mbele za macho yao.
9
Nyumba zao zi salama wala hakuna hofu; fimbo ya Mungu haiko juu yao.