Rukia maudhui
Ayubu 21:23-26

Kifo huwasawazisha wote

Ayubu 21:23-26
23
Mtu mmoja hufa akiwa na nguvu zake kamili, akiwa salama na mwenye raha kamili,
24
mwili wake ukiwa umenawiri, nayo mifupa yake ikiwa imejaa mafuta ndani yake.
25
Mtu mwingine hufa katika uchungu wa nafsi, akiwa hajafurahia kamwe jambo lolote zuri.
26
Hao wote hulala mavumbini, nao mabuu huwafunika wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options