Skip to content
Ayubu 18:19-21

Ayubu 18:19-21

19
Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
20
Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
21
Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options